candlelight96
Member
- Sep 20, 2021
- 38
- 78
Jaman wazee wa JF,
Nyie wapenda zinaa kila kona hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa...mara nakula mke wa mtu, mara mke wa kaka, mara shemej, jirani...
Sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio hai
Nyie wapenda zinaa kila kona hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa...mara nakula mke wa mtu, mara mke wa kaka, mara shemej, jirani...
Sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio hai