Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,323
- 17,826
Mimi nafikiri kuan umuhimu wa kuwa na chama cha wenye magari binafsui lol huu ni uonevu kabisa sasa uuziwe stika alfu 20 wakati ndani ya gari huna hiyo zimamoto stika ndo itazima moto ukitokea? hawa bwana naona ndio maana hawajazitangaza kama wanavyofanya wiki ya nenda kwa usalama ah mie ningegoma hadi wanipe maelekezo vizuri
Usiponunua faini yake ni ipi?
elfu ishirini, nadhani sawa na faini ya kosa lolote la usalama barabarani.