Bala,
Pia mimi nilikuwa napenda sana vibao vya Salna Brothers hasa Ufitini, pia wale New Urafiki Jazz walikuwa na wimbo unaimbwa hivi.......
.......kuna maneno nimeyasikia kwa majirani, ya kwamba
una mpango wa kuoa mke mwingine...........
Usiniache mpenzi eeeh ooh mary eeh, elewa wafitini mama si watu wazuri mamaaa.
Pia vibao maridadi kama Kiu ya Jibu, Sintaisononesho roho yangu toka DDC. Pili toka Tancult, Mwalalamika Pembeni- Vijana Jazz etc
Balatanda, tutafutie pia tune signatures? nyimbo za kutambulisha vipindi vya .......Mchana Mwema, Jioni Njema, Jibu lako, Nipe Habari, Ombi lako, Karibu RTD....
Pia mimi nilikuwa napenda sana vibao vya Salna Brothers hasa Ufitini, pia wale New Urafiki Jazz walikuwa na wimbo unaimbwa hivi.......
.......kuna maneno nimeyasikia kwa majirani, ya kwamba
una mpango wa kuoa mke mwingine...........
Usiniache mpenzi eeeh ooh mary eeh, elewa wafitini mama si watu wazuri mamaaa.
Pia vibao maridadi kama Kiu ya Jibu, Sintaisononesho roho yangu toka DDC. Pili toka Tancult, Mwalalamika Pembeni- Vijana Jazz etc
Balatanda, tutafutie pia tune signatures? nyimbo za kutambulisha vipindi vya .......Mchana Mwema, Jioni Njema, Jibu lako, Nipe Habari, Ombi lako, Karibu RTD....