I wonder why did the girl kept quite.... if it was me I would have taught him a lesson... so he will never do that to other girls
Alikuwa anafurahia Mguso na usije shangaa naye alikuwa anarespondi taratiiibu teh teh teh
Yale yaleeeeeeeeeeeeeeeeee^ u have hit the nail on the head ndege ya uchumi
lazima achapwe, ili ajifunze kujitafutia mwenyewe, sio anataka vya kunyonga.walimuonea kijana wa watu!
I wonder why did the girl kept quite.... if it was me I would have taught him a lesson... so he will never do that to other girls
Hii tabia imekuwa common sana kwenye daladala, Dar. Nakumbuka kuna mdada mmoja ashafanyiwa hivyo na hakuvumilia she spoke up na wote tukamzomea huyo mwanamume na akatelemka kwa aibu.
We have wierdos everywhere. Unakuta anapanda daladal kufanya uchafu wake tu wala hana destination. As if its not bad enough to have nymphomaniacs!
hii ndo tiba itakayowasaidia vijana na wakware wengine wanaopenda kupanda daladala pasipokujua uelekeo ilhali wanatafuta migongo ya kichina ya bure....Duh! Kuna mmama alimkamata kijana mmoja dudu yake kwenye daladala kimya kimya akaanza kuiminya mbya. Kijana ikabidi apige kelele, wattu wakaona, wakamtwanga kijana.