Zijuwe tabia sugu za wanachuo

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Feb 21, 2011
563
98
1. Hupenda kwenda bar na kumbi za starehe kuliko lecture na semina.
2. Hushinda room kuliko library
3. Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko module
4. Huogopa sup, carry na disco kuliko dhambi
5. Hufahamu waziri wa mikopo kuliko wahadhiri
6. Huhudhuria b'day, harusi na starehe za w'end kuliko ibada
7. Hutoa zawadi kubwa kwa boy & girl frnds kuliko kwa yatima na wajane
8. Hulinda ATM cards na penzi kuliko vitabu.
SO, epuka hivi vitu ukiwa chuoni.
 
  • Thanks
Reactions: sgn
Du mambo yamebadilika sana!
Enzi zetu
1 Kula kuku kwa kurudia, hata ukiwa mjini unawahi SHIMO GRILL
2 Jeans ni lazima, ila haioshwi mpaka mwisho wa mwezi
3 siku ya kufua jeans inalowekwa siku nzima na ukiisimamisha inasimama yenyewe
4 kitabu kwa kwenda mbele, mjerumani hakukamati kwa sup au kwa paper yoyote
5 Hall 3 ilikuwa mwiko, pengine kama huna kazi ya kufanya
6 Ukiwa veteran ni lazima utamjua Mzee Punch aliko
7 Lengo la usomi ilikuwa (wakati huo) kwenda ng'ambo kwa ajili ya further studies
8 Lecturer akikosea somo anafundishwa na wanafunzi mpaka kieleweke!
9 siku ya "boom" ni balaa, fujo Mlimani Park , Safari Resort etc mpaka hela iishe(fahari wawili hawakai zizi moja)
10 Siku ya kugraduate ndo unafahamu kumbe dunia iko tofauti

Those were our glorious days!!!
 
Du mambo yamebadilika sana!
Enzi zetu
1 Kula kuku kwa kurudia, hata ukiwa mjini unawahi SHIMO GRILL
2 Jeans ni lazima, ila haioshwi mpaka mwisho wa mwezi
3 siku ya kufua jeans inalowekwa siku nzima na ukiisimamisha inasimama yenyewe
4 kitabu kwa kwenda mbele, mjerumani hakukamati kwa sup au kwa paper yoyote
5 Hall 3 ilikuwa mwiko, pengine kama huna kazi ya kufanya
6 Ukiwa veteran ni lazima utamjua Mzee Punch aliko
7 Lengo la usomi ilikuwa (wakati huo) kwenda ng'ambo kwa ajili ya further studies
8 Lecturer akikosea somo anafundishwa na wanafunzi mpaka kieleweke!
9 siku ya "boom" ni balaa, fujo Mlimani Park , Safari Resort etc mpaka hela iishe(fahari wawili hawakai zizi moja)
10 Siku ya kugraduate ndo unafahamu kumbe dunia iko tofauti

Those were our glorious days!!!

hahaha kumbe ndio maana kila baada ya bm nilikuwa situliagi
 
Du mambo yamebadilika sana!
Enzi zetu
1 Kula kuku kwa kurudia, hata ukiwa mjini unawahi SHIMO GRILL
2 Jeans ni lazima, ila haioshwi mpaka mwisho wa mwezi
3 siku ya kufua jeans inalowekwa siku nzima na ukiisimamisha inasimama yenyewe
4 kitabu kwa kwenda mbele, mjerumani hakukamati kwa sup au kwa paper yoyote
5 Hall 3 ilikuwa mwiko, pengine kama huna kazi ya kufanya
6 Ukiwa veteran ni lazima utamjua Mzee Punch aliko
7 Lengo la usomi ilikuwa (wakati huo) kwenda ng'ambo kwa ajili ya further studies
8 Lecturer akikosea somo anafundishwa na wanafunzi mpaka kieleweke!
9 siku ya "boom" ni balaa, fujo Mlimani Park , Safari Resort etc mpaka hela iishe(fahari wawili hawakai zizi moja)
10 Siku ya kugraduate ndo unafahamu kumbe dunia iko tofauti

Those were our glorious days!!!

KUIBA MITIHANI.?
Wengi awasomi wanategemea feki au VUVUZERA kama linavyoitwa sasa vyuoni.
 
Ukipita pale raha saaana..4real U remind me the golden moments ..vpi kuhusu 'EXILES' vyumbani?
 
mmeshahu hii hapa: Wengi wao ni mabingwa wa kupigana "Exile"
 
Wanapenda kupiga deshi (kutokula au kujinyima) wanunue vitu kama simu, Tv na radio bila kusahau kuhuzuria kwenye mitumba.

Wengine hupenda kupigwa exile ili wachungulie
 
Du mambo yamebadilika sana!
Enzi zetu
1 Kula kuku kwa kurudia, hata ukiwa mjini unawahi SHIMO GRILL
2 Jeans ni lazima, ila haioshwi mpaka mwisho wa mwezi
3 siku ya kufua jeans inalowekwa siku nzima na ukiisimamisha inasimama yenyewe
4 kitabu kwa kwenda mbele, mjerumani hakukamati kwa sup au kwa paper yoyote
5 Hall 3 ilikuwa mwiko, pengine kama huna kazi ya kufanya
6 Ukiwa veteran ni lazima utamjua Mzee Punch aliko
7 Lengo la usomi ilikuwa (wakati huo) kwenda ng'ambo kwa ajili ya further studies
8 Lecturer akikosea somo anafundishwa na wanafunzi mpaka kieleweke!
9 siku ya "boom" ni balaa, fujo Mlimani Park , Safari Resort etc mpaka hela iishe(fahari wawili hawakai zizi moja)
10 Siku ya kugraduate ndo unafahamu kumbe dunia iko tofauti

Those were our glorious days!!!

Sina uhakika ni hiyo namba moja nachokumbuka wakati wa kuishiwa ilikuwa lazima uchukue kozi flani inaitwa RB 600 ( Yaani Rice & Beans for Tshs.600) ukikuta RB imeisha kifuatacho ni chai na mkate
 
mmeshahu hii hapa: Wengi wao ni mabingwa wa kupigana "Exile"

kule mabibo hostel kwenye block flani kuna jamaa walikuwa wanaishi na mademu zao kwenye room ya wanaume ilikua tabu sana usiku watu wanakula vitu kitanda cha juu na wewe upo chini unachobenefit ni vibration tu.
 
1. Hupenda kwenda bar na kumbi za starehe kuliko lecture na semina.
2. Hushinda room kuliko library
3. Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko module
4. Huogopa sup, carry na disco kuliko dhambi
5. Hufahamu waziri wa mikopo kuliko wahadhiri
6. Huhudhuria b'day, harusi na starehe za w'end kuliko ibada
7. Hutoa zawadi kubwa kwa boy & girl frnds kuliko kwa yatima na wajane
8. Hulinda ATM cards na penzi kuliko vitabu.
SO, epuka hivi vitu ukiwa chuoni.

Mkuu usinikumbushe Dr. Karamagi a.ka Fisadi wa Maksi
 
KUIBA MITIHANI.?
Wengi awasomi wanategemea feki au VUVUZERA kama linavyoitwa sasa vyuoni.
Mkuu kuiba mitihqni enzi hizo na kugundulika , mtu anadharauliwa sana, tena san tu.
It was easier to work ones way out to get good marks kuliko kuiba mitihani.
Hii inaelezea the long, wrong way we way deteriorated.;
 
Sina uhakika ni hiyo namba moja nachokumbuka wakati wa kuishiwa ilikuwa lazima uchukue kozi flani inaitwa RB 600 ( Yaani Rice & Beans for Tshs.600) ukikuta RB imeisha kifuatacho ni chai na mkate

Mkuu I amtalking of the situation way back to the 70's and early 80's.
Wengi wenu hamuifahamu SHIMO GRILL, lakini ni ile cafeteria iliyokuwa chini ya Havard.Hapo kula ilikuwa nguvu yako, lakini that was where the best chickens were served at no, absolutely NO direct cost at all!
 
Mmenizidi nguvu kwa mnachokiongelea, mm zamani sikuwepo hivyo imenibidi nibaki kuangaliya tu
 
1. Hupenda kwenda bar na kumbi za starehe kuliko lecture na semina.
2. Hushinda room kuliko library
3. Hufahamu mitindo ya mavazi kuliko module
4. Huogopa sup, carry na disco kuliko dhambi
5. Hufahamu waziri wa mikopo kuliko wahadhiri
6. Huhudhuria b'day, harusi na starehe za w'end kuliko ibada
7. Hutoa zawadi kubwa kwa boy & girl frnds kuliko kwa yatima na wajane
8. Hulinda ATM cards na penzi kuliko vitabu.
SO, epuka hivi vitu ukiwa chuoni.

kama vinaukwel vile mana hyo namba nne kma kwel vile inaonyesha wewe ni mtaaramu wa mambo yote hapo juu uliyo yasema hv yan kama kwel vle ila wanachuo bana we acha 2uu
 
Ukipita pale raha saaana..4real U remind me the golden moments ..vpi kuhusu 'EXILES' vyumbani?

Umenichekesha kweli, kuna siku moja jamaa aliwapiga EXILE wenzie, waliporudi wakakuta mlango umefungwa kwa ndani, wakachukua kiti kwa jiranikuchungulia juu ya mlango, yaani walikutana uso kwa uso na jamaa.
 
Du mambo yamebadilika sana!
Enzi zetu
1 Kula kuku kwa kurudia, hata ukiwa mjini unawahi SHIMO GRILL
2 Jeans ni lazima, ila haioshwi mpaka mwisho wa mwezi
3 siku ya kufua jeans inalowekwa siku nzima na ukiisimamisha inasimama yenyewe
4 kitabu kwa kwenda mbele, mjerumani hakukamati kwa sup au kwa paper yoyote
5 Hall 3 ilikuwa mwiko, pengine kama huna kazi ya kufanya
6 Ukiwa veteran ni lazima utamjua Mzee Punch aliko
7 Lengo la usomi ilikuwa (wakati huo) kwenda ng'ambo kwa ajili ya further studies
8 Lecturer akikosea somo anafundishwa na wanafunzi mpaka kieleweke!
9 siku ya "boom" ni balaa, fujo Mlimani Park , Safari Resort etc mpaka hela iishe(fahari wawili hawakai zizi moja)
10 Siku ya kugraduate ndo unafahamu kumbe dunia iko tofauti

Those were our glorious days!!!
hiyo red nimeipenda maana kuna chuo kimoja morogoro jamaa alipoishiwa akaforge lisiti za cafteria akawa daily anaagiza chai-kuku wa kukaanga..!!! mchana wali kuku wa kukaanga (kwa kifupi mapochopocho kwa kwenda mbele) mpaka mhudumu akawa amestukia kitu, alipowataarifu watoa lisiti ikabidi wamfuatilie, ndipo walipombaini kuwa alikuwa hapangi mstari wa kulipia bali akitoka room na lisiti yake moja kwa moja kwenye dirisha la mcoc!!!
 
Back
Top Bottom