Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,746
- 1,784
China wanaitumia hiyo nafsi ili Trump asifunge uhusiano wao hapo China itaendelea kupata nafasi kimataifa.
sure!
China wanaitumia hiyo nafsi ili Trump asifunge uhusiano wao hapo China itaendelea kupata nafasi kimataifa.
Uncountable ndugu yangu$1.1 Trillion ni sawa na Tshs ngapi?
Inakuwa na tarakimu ngapi mkuu.?Quadrillioni
2,472,250,000,000,000 Tsh.$1.1 Trillion ni sawa na Tshs ngapi?
Nilichoandika ni kweli na nitakisimamia mileleMkuu huo ni uchochezi ujue
Wamesema Juni mwakani
Wakat tunataja maskini kama sisiFuatilia ziara zote Trump kuanzia ile ya Saudia, Poland, South Korea, Japan na China. Kote huko anapata madili tu
•Saudia -Silaha dola bilioni 350 kwa ujumla
•Poland - Gesi
•South Korea - Silaha
•Japan -Silaha
•China -Biashara kama hvyo ndege, uchimbaji gas, nk
Naomba siku na Tanzania tupate Rais mfanyabiashara kama Trump
Ila huyu mjinga acha waendelee kumdharau tu ila ukweli anaifanya America kuwa Great Again. Tangu ameingia huko kote alikoenda hajatoa msaada wa hata sumni. Badala yake kila anakopita anaiingizia Marekani millions of us$. Hata akija huko Tanzania atahakikisha mnaingia mkataba wa mabilioni wa kununua hata sindano za vyerehani huko marekani. Ninyi si mnadai vyerehani vinne vinatosha kuwa viwanda vya kushonea viraka.Fuatilia ziara zote Trump kuanzia ile ya Saudia, Poland, South Korea, Japan na China. Kote huko anapata madili tu
•Saudia -Silaha dola bilioni 350 kwa ujumla
•Poland - Gesi
•South Korea - Silaha
•Japan -Silaha
•China -Biashara kama hvyo ndege, uchimbaji gas, nk
Naomba siku na Tanzania tupate Rais mfanyabiashara kama Trump
Huyo wenu aliyejifungia pale Magogoni kama yule professor aliyekua amejifungia pale Buguruni?Fuatilia ziara zote Trump kuanzia ile ya Saudia, Poland, South Korea, Japan na China. Kote huko anapata madili tu
•Saudia -Silaha dola bilioni 350 kwa ujumla
•Poland - Gesi
•South Korea - Silaha
•Japan -Silaha
•China -Biashara kama hvyo ndege, uchimbaji gas, nk
Naomba siku na Tanzania tupate Rais mfanyabiashara kama Trump
angalia kwanza uwezo wa kalculeta yako usije ukapiga hiyo hesabu ukaiua$1.1 Trillion ni sawa na Tshs ngapi?
Hapo .....mia900hahahahahaha jamaa kiboko huyu anatakiwa kupewa nyumba zake alishinda mnada kwa tsh mia900!!