Ziara ya Trump China, Boeing yaula

Fuatilia ziara zote Trump kuanzia ile ya Saudia, Poland, South Korea, Japan na China. Kote huko anapata madili tu

•Saudia -Silaha dola bilioni 350 kwa ujumla

•Poland - Gesi
•South Korea - Silaha
•Japan -Silaha
•China -Biashara kama hvyo ndege, uchimbaji gas, nk

Naomba siku na Tanzania tupate Rais mfanyabiashara kama Trump
Haita tokea mkuu mfumo wa nafasi hiyo haupo karibu kabisa rejea mfumo wa kibashite msema kweli ni mpenzi wa mungu!!
 
Ila me nadhani elfu saba itapendeza zaidi
433ca694d4c5c5e6511bdf060985261c.jpg
hahahahahaha jamaa kiboko huyu anatakiwa kupewa nyumba zake alishinda mnada kwa tsh mia900!!
 
Haita tokea mkuu mfumo wa nafasi hiyo haupo karibu kabisa rejea mfumo wa kibashite msema kweli ni mpenzi wa mungu!!
Nadhani ni muda sasa umefika kwenye katiba mpya kiwepo kipengele cha mgombea binafsi
 
sijuwi alitumia lugha gani waka mshitukia jamaa walimpa kwanza chakula huku akiwapigia story za urusi na jinsi ya kuendesha viwanda 30 ya chemical na vyakula adi mama wa yono akaomba kazi kwenye kiwanda kimoja kama supervisor!!
nawaonea huruma wale wapepeaji
 
Nadhani ni muda sasa umefika kwenye katiba mpya kiwepo kipengele cha mgombea binafsi
mkuu wazee wa yanga na wazee wa kahawa unawajuwa !!?
unajuwa adi mdahu matajiri wanatakiwa kuishi kama mashetani!!?
 
Hahahahahaha
Ubaya ujuwe ulikuwa wapi jamaa alikuwa anapiga simu anaongea kirusi sasa akimaliza ana wambia bado wamelala ila ameongea na General manager asubuhi ya kesho kutwa wataiona kwenye account yao akawapa website wakamuona jina lake na kampuni huko urusi !!!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ubaya ujuwe ulikuwa wapi jamaa alikuwa anapiga simu anaongea kirusi sasa akimaliza ana wambia bado wamelala ila ameongea na General manager asubuhi ya kesho kutwa wataiona kwenye account yao akawapa website wakamuona jina lake na kampuni huko urusi !!!
fundi punguza uchochezi
 
Back
Top Bottom