POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Kama ulikuwa unafutilia ziara za JK kupitia TBC, kila siku. Katika mfululizo wa ziara zake wizarani, JK amekuwa akioneshwa akiwakoromea mawaziri na kuwakatisha katisha wanapotoa taarifa kwake mfano. Magufuli (Ujenzi) MW. Hawa Ghasia (management) na MW. Nungu ( miundombinu). Alikua anaongea kwa msistizo, lakini leo (tbc habari) alipokuwa wizara ya maji kwa Prof. Mwandosya. JK hajaonyesha makali hata kidogo wala kumkatisha katisha Prof wakati anaonge. JE JK ANAMUOGOPA PROF?