mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Pamoja na haya yanayoendelea, kuna waraka umetoka utumishi hivi majuzi kuzitaka hospitali
na taasisi kutokuwatambua madaktari kama maspeshalisti mara baada ya kugraduate
hadi pale ambapo serikali itaamua kuwatambua.Lengo la waraka huu ni kukwepa kulipa mshahara wa daktari bingwa.
Pia haijulikani serikali itakutambua lini hata kama ni baada ya miaka kadhaa, hawajali. Mfano halisi ni kuwa wale waliomaliza postgraduate mwaka jana hawajatambuliwa hadi leo na wanafanya kazi kwa mshahara wa registral!
Halafu baada ya kutambuliwa hakuna areas!!
Naandika hili nikitumia mfano halisi wa Muhimbili!
Chanzo MAT
na taasisi kutokuwatambua madaktari kama maspeshalisti mara baada ya kugraduate
hadi pale ambapo serikali itaamua kuwatambua.Lengo la waraka huu ni kukwepa kulipa mshahara wa daktari bingwa.
Pia haijulikani serikali itakutambua lini hata kama ni baada ya miaka kadhaa, hawajali. Mfano halisi ni kuwa wale waliomaliza postgraduate mwaka jana hawajatambuliwa hadi leo na wanafanya kazi kwa mshahara wa registral!
Halafu baada ya kutambuliwa hakuna areas!!
Naandika hili nikitumia mfano halisi wa Muhimbili!
Chanzo MAT