STimira
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 133
- 23
Tumechaoka, kila kukicha ni issues za maslahi ya madaktari.... kwani wao tu ndio muhimu jamani??
Hawa wanataaluma wamegeuka wauaji, wanashabikia watu kufa. Wameshapoteza maisha ya wengi kwenye mgomo wao wa mwanzo lakini bado wana hamu ya kuondoa roho zingine. Wamenogewa kuua.
Laana iko juu yenu, kwa kutanguliza ulafi wenu wa pesa na kupigania kushibisha matumbo yenu ....kwa kutoa kafara roho za binaadam wenzenu.
usilolijua ni kama usiku wa kiza, mara zote utaishia kuchangia mambo kwa kuyaangalia juu juu tu bila kujua undani wake, kumbuka no research no right to speak and conclude on your own!!! mi napita tu!!!!