Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Hizi cheap labor ndio zinaua media hapa Bongo! wamiliki wa vyombo vya habari na waandishi wao hawataki kuwekeza kwenye elimu ili wawe competent haya sasa ndio matokeo yake, unakuta mtangazaji amegeuza radio kama kijiwe cha porojo hivi, kama hawawezi si wakae vijiweni waote jua kama solar panels hahahaha!