Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
jamaa yupi huyo?
kafomae??
jamaa yupi huyo?
Habari kutoka TBC saa saba mchana, "mtaalam wa sauti wa kundi la Orijino Komedi amefariki kwa ajali (ya pikipiki)"
guys, aliyekufa sio seki, ni soundman wa tbc na hao comedy!!!
mods wange-do the needful tu
MKUU FINEST UKIONA MWENZIO ANANYILEWA TIA MAJI..MMH HIZI AJALI KAMA KWELI MBONA ZITATUMALIZA ..UBAYA WALIKUWA MIKONI MWA MWA MWA dddaaadaaaaadaaaaaahHHHHH
RIP SEKI
AISEE YAANI NAUMIA ZAIDII KUNA MASHORI ALIKUWA AKIWATUNGUA PALE KIMARA MWISHO SIJUI KAMA ALIBAHATIKA KUWAACHIA HATA KAMIMBA CHA BAMBIKIZA TUJARIBU KUKALEA SEKI TULIOBAKI
SO SAD HANDSOME SEKI AUKO NASI KIMWILI TWAAMINI KIROHO UKO PAMOJA NASI ......YAANI NIKISOMAGA RIP MWILI WASISIMKA MAANA UJUI UKO KUKOJE NA AKUNA ALIERUDI KUTABALISHA
nimeongea nao sasa hivi kwa simu ya mkononimkuu
srce??
seki alipanda boda boda akienda wapi ......?... Hizi ni hatari sana tena mjini.... Rip
pdidy uko alright kweli?
hata uwe kijijini muwa kuripiwa ukifika utaitwa rip tu mpwa
swala la kuangalia ameacha mjane??watoto tutamsaidiaje hilo ndio la muhimu
bwana ametoa bajaji imetwaa sasa sijui nani abarikiwe hapo...??
Mnavowahiwahi kutoa R.I.P Hata bila Uthibitisho.....Unajua hata wewe kuna siku tutakuandikia R.I.P wakati uko Live Unachatooh my my......RIP Seki......ilitokeaje?
Kingo,
aliyekufa sio seki bali ni soundman wao \seki ni producer
Nimeconfirm in person...
Wana JF!! Ukweli ni kwamba kikundi cha The Original Comedy wamefiwa na fundi wa PA (SoundMan) wao Ndg. Mohamed Muya aliyepata ajali ya pikipiki. Seki yupo salama. Mwenyezi Mungu ailaze ROHO ya Marehemu M. Muya Mahali pema peponi. AMENnimezipata kama tetesi
Mnavowahiwahi kutoa R.I.P Hata bila Uthibitisho.....Unajua hata wewe kuna siku tutakuandikia R.I.P wakati uko Live Unachat
Seki hajafa mtu wangu, utashikwa umbea bure:happy:MKUU FINEST UKIONA MWENZIO ANANYILEWA TIA MAJI..MMH HIZI AJALI KAMA KWELI MBONA ZITATUMALIZA ..UBAYA WALIKUWA MIKONI MWA MWA MWA dddaaadaaaaadaaaaaahHHHHH
RIP SEKI
AISEE YAANI NAUMIA ZAIDII KUNA MASHORI ALIKUWA AKIWATUNGUA PALE KIMARA MWISHO SIJUI KAMA ALIBAHATIKA KUWAACHIA HATA KAMIMBA CHA BAMBIKIZA TUJARIBU KUKALEA SEKI TULIOBAKI
SO SAD HANDSOME SEKI AUKO NASI KIMWILI TWAAMINI KIROHO UKO PAMOJA NASI ......YAANI NIKISOMAGA RIP MWILI WASISIMKA MAANA UJUI UKO KUKOJE NA AKUNA ALIERUDI KUTABALISHA
R.I.P Preta !
Ukweli ni kwamba kikundi cha The Original Comed wamefiwa na fundi wa PA (Sound Man) wao Ndg. Mohamed Muya aliyepata ajali ya pikipiki. Seki yupo salama. Mwenyezi Mungu ailaze ROHO ya Marehemu M. Muya Mahali pema peponi. AMEN
yeuwooomiiii........lakini hata nikirest najua ninapoenda, sijali sana kuhusu mwili bali naihangaikia roho yangu zaidi
Seki hajafa mtu wangu, utashikwa umbea bure:happy: