KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
logic sina, ila nilichosema from the beginning kwamba tokea lini mafisadi wakachunguza mafisadi wengine bila ya wao kuchunguzwa ? kwa kuwa huyo karamagi alifanya large scale theft ndio awe tofauti na huyo dr. slaa ambaye ameiba kidogo kidogo lakini mara nyingi ? dont ask where this came from, someni post ya kwanza na main aim ya hii thread utajua !
once a murderer always a murderer ! once a fisadi always a fisadi !
once a murderer always a murderer ! once a fisadi always a fisadi !