Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,104
..........Lakini si unajuwa kumuuma mtu sikio sharti ulione?Nimebadilisha ratiba yangu...siku hizi nalala usiku kama wengine!!
..........Lakini si unajuwa kumuuma mtu sikio sharti ulione?Nimebadilisha ratiba yangu...siku hizi nalala usiku kama wengine!!
Nimeuona sweety lakini bado naangalia ni pengo au mwanya kweli?Nimeshakupa mwanya umeukataa....
.......Nitaitumia hiyo nafasi.Haahaha...pengo au mwanya vyote vinaacha nafasi!!!
Kwani tangu lini wewe ukaelewa!?Unavyochanganya matukio!!
Ni wachache sana tunakuelewa..
Nimezingatia masharti na vigenzo........Usisahau kwamba kuna kuisha muda wa matumizi.....
utaendelea lini bn nahisi nimeipenda vile.utanilipa....?!
story ni tamu...Hahhaha...Reao bana!!Yani unataka kuniambia sieleweki au inakuaje?!
matola,,Kwani tangu lini wewe ukaelewa!?
mchakato majimboni tuendelee mkuu, nimeipenda mistari yako hasa hilo kufuri la ziwa victoria, na Tv inaonesha Mahubili ya Mchungaji Masa.
Bravo, toa tu kitabu! Unanikumbusha enzi za maji machafu m.m bawji kwenye sani na vitabu vya kikomo, kisasi n.k namna unavyobuni na kupanga mtiririko wa matukio,visa na vibwagizo vyenye kusisimua yaani humchoshi msomaji! Keep it up, unakipaji kama hujadesa tu!
.......Nilikwambia subiri watoto walale nitakwambia ukasema leo unalala kwa fomular ya kawaida, haya mbona bado tupo wote?Lolzz...umenifurahisha ulivyomalizia!!!ASANTE!!
MKWE usiwe na haraka mama....taratiiiibu utajua kila kitu!!