ngoja nikawaambie "wazee wangu wa gerezani", watanyosha mambo, hii yote sababu ya yule "mvaa kaptura" angetuachia sisi "wavaa suti hili lisingetokea"Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya muungano tangu zamani, mtakumbuka kuwa ilishaelezwa kwamba watakaouvunja muungano huu ni wazanzibar wenyewe kutokana na ulevi tu wa viongozi wao.