Acha hizo wewe, ni kiuchochoro cha wala urojo tu.
Katiba ya Zanzibar ni sawa na by laws za Halmashauri ya Namtumbo.
Wenyewe Zanzibariccm wameyataka wakiongozwa na balozi mkaazi walipokataa mapendekezo ya katiba ya waryoba ambayo yaliweka uwazi kuhusu muuungano sasa wanajikanganya wache watawaliwe na watanganyika.SIo nchi bana...ni kakitu kengine kengine hata sijui ni nini!aghhhhhhhhhr
ktk list ya nchi duniani,hakuna nchi inayoitwa zanzibar,ila najua nchi Tanzania,yenye mikoa 30,kati ya mikoa hiyo 30,mitano iko ndani ya bahari ya hindi,ikiwemo unguja,pemba na kaskaz na kusin na upi sjui
Hivi nasound kilumumba eeh!Ndivyo unavyambiwa hapo Lumumba??
Zanzibar ni kama Ohio, Nevada, Virginia na majimbo mengine kwa pamoja ikaitwa USA. Hapa kwetu Zanzibar na Tanganyika zikaungana na kuwa Tanzania. Hivyo baada ya Muungano Zanzibar ikakoma kuitwa nchi vivyo hivyo Tanganyika badala yake kwa pamoja ikawa Tanzania. Usimsikilize mzee Madevu Rais wa UN atakupoteza
Wenyewe Zanzibariccm wameyataka wakiongozwa na balozi mkaazi walipokataa mapendekezo ya katiba ya waryoba ambayo yaliweka uwazi kuhusu muuungano sasa wanajikanganya wache watawaliwe na watanganyika.
Kwani ndie aliyeandika katiba? Kwanza wapemba usiwaambie hizo habari watakushangaa mbona hawaulizwi passport wanapokuja kununua viazi mbatata IringaNdiyo mafundisho mapya ya Jiwe hayo?
S
Kwani ndie aliyeandika katiba? Kwanza wapemba usiwaambie hizo habari watakushangaa mbona hawaulizwi passport wanapokuja kununua viazi mbatata Iringa