Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Ni uharifu wa kawaida huenda walidhani ana pesa za sadaka. Hivi huyu hakuwa mhasibu?
mkuu nimetoka kanisani tumetangaziwa amepigwa risas leo asubuhi..uvumilivu unamipaka,.hawa jamaa wanatuchukulia poa sana..imefika muda na sisi ku-revange..liwalo na liwe
Du....basi wadu mwenyewe kama inafaaHuna hadhi ya kumpa dada angu yoyote mimba mbu.zi wewe!!tulia
Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie tuondokane na vita hii inayowalenga watumishi wako. Mpunzishe kwa anami mtumishi wako Padre Mushi. Pole kwa ndugu wa marehemu na kanisa katoliki Tanzania na duniani nzima.
Unamfahamu kweli Pd Mushi? Tema mate na utubu! Sio mtu wa namna hio! Sio unakosea mbele ya Mungu na watu wake!
1. Chama, si mapadre wote wenye tabia hizo. Mapadre wapo wengi sana, na walio wengi ni viongozi wazuri sana wa kiroho na ni waaminifu kwa wito wao.Wewe ndiye utakuwa mnafiki hivi hujaona au kusikia padri anatembea na mke wa mtu?
Chama
Gongo la mboto DSM
Jamani hii ni sababu ya serikali kuuchekea udini(uislam)
mkuu nimetoka kanisani tumetangaziwa amepigwa risas leo asubuhi..uvumilivu unamipaka,.hawa jamaa wanatuchukulia poa sana..imefika muda na sisi ku-revange..liwalo na liwe
...Igunga walipanda mamba na kujiaminisha akikua atakuwa mjusi pande zote za dini ndani ya chama chao walishangilia na kuungana na kuamini matokeo ya mwisho mamba atakuwa mjusi....
...leo mjusi amekua amekuwa mamba ameanza kula upande moja wamemtuma anayejua lugha yake mjusi amemwambia mlipo nipanda mlitegemea nitakula majani?
anaendelea vizuri...Vipi kuhusu yule padre mwingine aliyepigwa risas akiwa ametokea kwenye ibada? Vipi kuhusu maendeleo yake? Mwenye Taarifa atujuze .
Nchi sasa ipo gizani! Ni nani wa kuwasha taa iwaangaziye watu wa nchi hii.
Kiongozi wa kiroho anauwawa akielekea kutoa huduma ya kiroho kwa waumini wake; tunaelekea wapi?
Upo wapi WEWE uliyeanzisha ili sekeseke la kidini; ulichohitaji ulipata kwa nini usilifunge. Umekaa kimya unasubiri nchi ipasuke vipande vipande; oooh Mungu fanya jambo wakajuye kuwa upo. Watu hawa wenye shingo ngumu wamejigeuza miungu wanasema wasiyoyaamini; ktk masuala magumu wanaleta mzaha.
Wamedhihaki madhabahu zako kwa kuziteketeza na moto lengo kuuwa roho za waamini sasa wamegrukua watendakazi wako; nani apigane kama si WEWE MWENYEWE? Wanyime pumzi; na watu wote waseme Amen
Mngekuwa mnalaani mauaji ya masheikh kule kenya kama mnavyolaani mauaji ya padri ningewaona wa maana sana