manushichini
Member
- Jun 28, 2012
- 26
- 13
Hawa Waislam wengi wana akili finyu sana na wanajua Wakristo tunaishi kistaarabu.Ata ivo Zanzibar kutokana na sensa kuna watu Milioni 1.4 Bara kuna Milion 43.Kuna haja ya Muungano akati wenyewe wavivu na wataalamu wa kulalamika?CDM ichukue nchi,tupilia mbali mawazo ya Muungano waislam wa bara tunategemea wawe wastaarabu au wamfuate ponda lupango.kuna wakati inatakiwa tukubali sio mawazo yote ya nyerere ni sahihi hadi leo.Kama Muungano usioeleweka..........Mungu ampumzishe kwa amani Mtumishi wake Padri Mushi ....