Zanzibar na ufisadi wa kutisha!

Nyiye wabongo hamujui kumbe! sasa kwa taarifa yenu Zanzibar hakuna uhuru wa vyombo vya habari na ukafungua mdomo mawili kufungwa au kuuwawa katika mazingira ya kutatanisha na ndo sabb wana TV yao(ZBC)hii mwanzo mwisho husifia serikali na kutaarifu habari za CCM tupu, weye hujui kwann hawataki kituo kingine cha TV kufunguliwa?wanajua wataja umbuka ati,sasa nyiye huona hakuna ufisadi eeh,tazmeni hapa pangu hiyo nio kashfa ya rais mstaafu Aman Karume.
 
We can not, we can not at all!

Hayo sasa ndio mambo ambayo yanatakiwa sote tuyaangalie kwa mapana yake. Inawezekana kipato kikawa ni kidogo sana kwa watumiaji wengi wa umeme na kukosa kipato haina maana hawahitaji umeme, la hasha...tunarudi pale pale, inawezekana tumejibanza kwenye tatizo kubwa bila sisi wenyewe kujua. Kwa mtazamo wangu wanasiasa wengi wanafanana sana. Tofauti zao ni ndogo na inategemea na nafasi wanazoshika...kama kiongozi mkuu asipokuwa mwangalifu wanaweza kabisa wakafanya yale yale bila kuwatofautisha.
Kwa maana hiyo basi viongozi wetu na namna ya kuongoza watu lazima tuweke system ya kueleweka. Mtu akifuja mali ya umma ashughulikiwe hata kama akiwa ni nani. Kama anahamishwa tu eneo moja kwenda nyingine, what message do we send across?
 
Hivi bajeti ya mwaka ya taifa la Zanzibar ni dola ngapi vile? Cha kufisidi kiko wapi? Magunia mawili matatu ya karafuu ambayo ndio uchumi wa Zanzibar au? Hicho cha kufanyia "ufisadi wa kutisha" hakipo and thats the reason.
Hizo hizo gunia mbili za karafuu TRA kutoka tanganyika ipo zanzibar imeweka mrija wake ukiwanyonya wazanzibari,jee una suala lolote babuuuu ?
 
Nyiye wabongo hamujui kumbe! sasa kwa taarifa yenu Zanzibar hakuna uhuru wa vyombo vya habari na ukafungua mdomo mawili kufungwa au kuuwawa katika mazingira ya kutatanisha na ndo sabb wana TV yao(ZBC)hii mwanzo mwisho husifia serikali na kutaarifu habari za CCM tupu, weye hujui kwann hawataki kituo kingine cha TV kufunguliwa?wanajua wataja umbuka ati,sasa nyiye huona hakuna ufisadi eeh,tazmeni hapa pangu hiyo nio kashfa ya rais mstaafu Aman Karume.
Nakubaliana na wewe.

Kwa kuongezea Uhuru wa waandishi habari hakuna,kama unataka kunya kwenye ndoo,ongea suala la ufisadi,ongea kuhusu rais wa zanzibar au waziri kwa kumkashifu suala la ufisadi,au kiongozi wowote wa serikali utakiona cha moto.

Vyombo vya habari zanzibar kitu kikubwa ambacho huwa vinatoa ni mapinduziiiiiiiiiiiii daimaaaa,ujinga mtupu.
 
Awali ya yote siungi mkono jinsi NasDaz alivyowasilisha hoja yake kwa mtindo wa magazeti ya udaku

Pili ZNZ ufisadi uko kama kawa ila nani wa kuusemea? usisahau hakuna watchdog kule. Huku bara tunayo kiranja mkuu Chadema na ofisi ya CAG. Kwa wenzetu C.A.G wao bado ni ule wa kizamani wa kuweka ripoti kabatini. Na kingine kikubwa kule wote ni CCM(CCM-A na CCM-B) wote wanaogopa kushikana mashati ili ndoa yao isivunjike(wanafunika kombe mwanaharamu apite)

Tatu - Uzenj hawana uhuru wa habari km bara ss waakina kubenea hawapo ili kuchimbachimba hizo habari
 
vile vyakula vibovu vinavyoingizwa zanzibar kila mwezi si ufisadi huo ama?
Yaaani jama wanalishwa mchele ,mbovu hivi hivi wanaona ! Yaaani mchele wa bluu kabisa ! Sijui wamerogwa ? Au mmesomewa duwa ? Maana mletaji anajifanya ni mchaji ile mbaya !
 
Awali ya yote siungi mkono jinsi NasDaz alivyowasilisha hoja yake kwa mtindo wa magazeti ya udaku

Pili ZNZ ufisadi uko kama kawa ila nani wa kuusemea? usisahau hakuna watchdog kule. Huku bara tunayo kiranja mkuu Chadema na ofisi ya CAG. Kwa wenzetu C.A.G wao bado ni ule wa kizamani wa kuweka ripoti kabatini. Na kingine kikubwa kule wote ni CCM(CCM-A na CCM-B) wote wanaogopa kushikana mashati ili ndoa yao isivunjike(wanafunika kombe mwanaharamu apite)

Tatu - Uzenj hawana uhuru wa habari km bara ss waakina kubenea hawapo ili kuchimbachimba hizo habari

Kwenye chaguzi zilizopita CUF na CCM walikuwa kwenye kundi moja? wote walikuwa kwenye serikali moja? Bado sijapata hoja ya msingi wa kuelezea ufisadi znz
 
Back
Top Bottom