Vihelehele wanaofurahia kuona serikaliinafanya vibaya kwa ajili ya maslahi yao ya kisiasa bila shaka walifunguathread hii huku wakiwa na shauku kubwa ya kuona kimenuka nini huko ZNZ!! Wenyemapenzi ya kweli na nchi yetu katu hatuwezi kufurahia kuona serikali ikifanyavibaya ili tu nasi tupate nafasi ya kutawala! Wenye mapenzi na nchi yetuhatujali ni nani anashika hatamu za uongozi wa nchi hii bali bali yeyote yuleatatoa mustakabali bora wa taifa na watu wake! Iwe inaongozwa na CCM, CHADEMA,CUF, NCCR, TLP or chama chochote; hatujali. Na hata kama pangekuwa na uwezekanowa kuwepo kwa Management and Governance Contract kiasi kwambatukaongozwa/kutawaliwa na uongozi kutoka nje; we don't care provided uongozi huoutatufikisha kule ambako kila Mtanzania angependa tuwe! Ya nini basi kuendeleakuongozwa na Mtanzania ikiwa amesha-prove failure tangu uwepo wa dunia?!Hatujashindwa tangu baada ya uhuru bali tulishashindwa tangu mwanadamualipoanza kuwepo duniani! Industrial Revolution iliyokuwa imetokea Europe karneya 17, ni status ambayo hadi leo hii Afrika hatujaifikia! Revolution hiyo ilitokea kwa wenzetu wakati Afrikatukiwa bado tunavaa magome ya miti…..na ndio maana nasema tulishindwa tanguhapo!!
Sasa turudi kwenye mada "Zanzibarna Ufisadi wa Kutisha!" Hapa ninachojaribu kufanya ni kuulizia STATUS yaufisadi Zanzibar. Lazima tu nikiri kwamba bado sijapata kusikia ufisadi wakutisha kutoka kisiwani humo. Je, ni kwamba ufisadi haujaota mizizi kwa kiasikikubwa kama ilivyo bara au tu tunashindwa kupata taarifa sahii?! Sijapatakusikia hata wakati CCM na CUF walipokuwa na uhasama mkubwa wa kisiasa. Kilauchao kashfa kubwa za ufisadi zinatokea Bara!!! Kama tunaweza kudhihirishiwakwamba angalau Zanzibar ni waadilifu katika suala zima la ufisadi, je, panaubaya wowote wa kuwaachia wizara nyeti waziongoze?! Kama nilivyotangulia kusemahapo awali, mtu kama mimi sijali nani anaongoza ili mradi tu awe na uwezo wakulisongesha mbele taifa hili.
NAWAKILISHA!
Sasa turudi kwenye mada "Zanzibarna Ufisadi wa Kutisha!" Hapa ninachojaribu kufanya ni kuulizia STATUS yaufisadi Zanzibar. Lazima tu nikiri kwamba bado sijapata kusikia ufisadi wakutisha kutoka kisiwani humo. Je, ni kwamba ufisadi haujaota mizizi kwa kiasikikubwa kama ilivyo bara au tu tunashindwa kupata taarifa sahii?! Sijapatakusikia hata wakati CCM na CUF walipokuwa na uhasama mkubwa wa kisiasa. Kilauchao kashfa kubwa za ufisadi zinatokea Bara!!! Kama tunaweza kudhihirishiwakwamba angalau Zanzibar ni waadilifu katika suala zima la ufisadi, je, panaubaya wowote wa kuwaachia wizara nyeti waziongoze?! Kama nilivyotangulia kusemahapo awali, mtu kama mimi sijali nani anaongoza ili mradi tu awe na uwezo wakulisongesha mbele taifa hili.
NAWAKILISHA!