rugumisa
Member
- May 29, 2012
- 38
- 9
Kwa mtu msomi wa sheria kama mimi ninayejua sheria za kimataifa sitakataa kwamba hili nchi iitwe nchi inabidi vitu vikuu vitatu vifuatavyo viwepo(i) serikali,(ii)jeshi na (iii)kutambulika kimataifa.Mipaka ya nchi sio Muhimu maana Israel ni nchi lakini haina mipaka rasmi.Na Ukubwa sio Muhimu maana vaticani ni nchi na ina hekari mia tisa tu na monaco pia ni nchi.Lakini hoja yangu ni hili huwe nchi inabdi utambuliwe na nchi nyingine kimataifa ndio maana Taiwan sio nchi maana haitambuliwi kimataifa.
Mimi hizi thread za Zanzibar wanaolalamika zinanikera.kwanza mji magharibi(ambao unasifiwa umeendelea kuliko yote) karibia asilimia 88 ni slum yote.Jiulize sehemu fukara kama Pemba itakuwaje?Maeneo yaliyopangika ni Mbweni,Mpendae,kilimani,michenzani na kikwajuni na BUbuu.Juzi nimepita mitaa ya Jang'ombe hapa zanzibar kwa mguu karibu nilie kwa jinsi watu walivyo mafukara.Yaani nyumba zimebanana sana hata ambulance au gari la kuzima moto haliwezi kupita.nikajiuliza swali moja hivi wizara ya makazi na mipango miji inashindwa kuplan kamji kadogo kama haka hambako hakana watu hata laki sita(maana idadi ya watu inafikia karibia milioni moja)
Watu wa zanzibar badala ya kuongea jinsi ya kujinasua na ufukara wao kila kukicha kwenye vikao vya kahawa ni Muungano tu.Cha kusikitisha zanzibar nzima huwezi kuilingalisha kiukubwa wa eneo na kiuchumi na mkoa mdogo kama kilimanjaro!Mfano kutoka mji mkongwe hadi Nungwi ni mwendo wa usiofika masaa mawili,mji mkongwe mpaka Mkimkazi ni kama masaa moja na nusu.kwa kifupi ukichukua gari yako masaa matano unamaliza kutembelea mikoa yote ya unguja Unguja kusini,Unguja kaskazini na mji magharibi.
Na mapato ya ndani ni kidogo ichi kisiwa ni mdogo sana kwamfano misharaha ya wafanyakazi wa serikali ya mapinduzi serikalini ni laki moja.Na unakuta mtu pamoja na mshahara mdogo anaoa wake watatu!wafanyakazi wanaofanya serikali ya Muungano ndio wanapata mishahara mikubwa.
Na ni sehemu ambayo watu hawashughuliki na kilimo wala ufugaji.Kila kitu wanaagiza bara na nchi za pakistani na uarabuni.lakini kila siku wanalilia kama wana mafuta.
Kama mtu anabisha hoja yangu haje kunipinga maana ninaishi Zanzibar na ninaona ufukara mkubwa uliopo kwenye huu mji.
Mimi hizi thread za Zanzibar wanaolalamika zinanikera.kwanza mji magharibi(ambao unasifiwa umeendelea kuliko yote) karibia asilimia 88 ni slum yote.Jiulize sehemu fukara kama Pemba itakuwaje?Maeneo yaliyopangika ni Mbweni,Mpendae,kilimani,michenzani na kikwajuni na BUbuu.Juzi nimepita mitaa ya Jang'ombe hapa zanzibar kwa mguu karibu nilie kwa jinsi watu walivyo mafukara.Yaani nyumba zimebanana sana hata ambulance au gari la kuzima moto haliwezi kupita.nikajiuliza swali moja hivi wizara ya makazi na mipango miji inashindwa kuplan kamji kadogo kama haka hambako hakana watu hata laki sita(maana idadi ya watu inafikia karibia milioni moja)
Watu wa zanzibar badala ya kuongea jinsi ya kujinasua na ufukara wao kila kukicha kwenye vikao vya kahawa ni Muungano tu.Cha kusikitisha zanzibar nzima huwezi kuilingalisha kiukubwa wa eneo na kiuchumi na mkoa mdogo kama kilimanjaro!Mfano kutoka mji mkongwe hadi Nungwi ni mwendo wa usiofika masaa mawili,mji mkongwe mpaka Mkimkazi ni kama masaa moja na nusu.kwa kifupi ukichukua gari yako masaa matano unamaliza kutembelea mikoa yote ya unguja Unguja kusini,Unguja kaskazini na mji magharibi.
Na mapato ya ndani ni kidogo ichi kisiwa ni mdogo sana kwamfano misharaha ya wafanyakazi wa serikali ya mapinduzi serikalini ni laki moja.Na unakuta mtu pamoja na mshahara mdogo anaoa wake watatu!wafanyakazi wanaofanya serikali ya Muungano ndio wanapata mishahara mikubwa.
Na ni sehemu ambayo watu hawashughuliki na kilimo wala ufugaji.Kila kitu wanaagiza bara na nchi za pakistani na uarabuni.lakini kila siku wanalilia kama wana mafuta.
Kama mtu anabisha hoja yangu haje kunipinga maana ninaishi Zanzibar na ninaona ufukara mkubwa uliopo kwenye huu mji.