Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Jamani:
Wizara inaundwa na idara za kiserikali ambazo tayari zipo kwa miaka mingi. Hivyo basi hata kama serikali ya Zanzibar itakuwa na wizara moja basi wizara hiyo itachukua idara zote.
Na vilevile nchi yenye watu wachache haina maana itakuwa na idara chache za kiserikali.
Wizara inaundwa na idara za kiserikali ambazo tayari zipo kwa miaka mingi. Hivyo basi hata kama serikali ya Zanzibar itakuwa na wizara moja basi wizara hiyo itachukua idara zote.
Na vilevile nchi yenye watu wachache haina maana itakuwa na idara chache za kiserikali.