ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,019
- 7,223
wewe si umeuliza wapi nimeitoa hiyo habari, nimekuwekea nasubiri apology.
Sasa unasubiri apology ya nini wakati bado hujaprove kama ulisema kuwa wanaopinga Muungano ni minority? Ukiprove kama ulisema hivyo nita apologize bila kuchelewa.