Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,827
Ukinunua vitu Zanzibar na kuja navyo Tanzania Bara vitu husika vilikuwa vinalipiwa kodi ikiwa ni mara ya pili baada ya kulipiwa kodi Zanzibar kabla.
Jambo hilo linaenda kuwa historia baada ya kamishna wa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar(ZRA), Yussuf Juma Mwenda kusema wanamalizia hatua za mwisho kuunganisha mifumo ya kodi ya Tanzania Bara na Zanzibar ili mtu alipe kodi mara moja pekee.
"Hili jambo likiisha, malalamiko yatasuluhishwa. Ukiwa na risiti halali kutoka ZRA au TRA hautalipishwa kodi mara mbili". Alisema.
The Citizen
Jambo hilo linaenda kuwa historia baada ya kamishna wa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar(ZRA), Yussuf Juma Mwenda kusema wanamalizia hatua za mwisho kuunganisha mifumo ya kodi ya Tanzania Bara na Zanzibar ili mtu alipe kodi mara moja pekee.
"Hili jambo likiisha, malalamiko yatasuluhishwa. Ukiwa na risiti halali kutoka ZRA au TRA hautalipishwa kodi mara mbili". Alisema.
The Citizen