source TBC1
Jamani tunasikia CCM wamegoma kusign matokeo ya uchaguzi unguja,mliopo huko tunaomba mtuhabarishe zaidi
Kama mgombea urais wa ccm zanzibar anapiga kura dar es salaam mnadhani wazenji ni majuha????
SEIF rais na ccm ni makamu.
Dah jamaa yangu shain ni vice presidaa very professional