Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,716
- 39,804
line za voda zinakubali kwenye pdproxy?
hazikubali
line za voda zinakubali kwenye pdproxy?
hazikubali
why do you think hazikubali, japokuwa unaweza kuconnect hata kama haina fedha???
hii ni kwa sababu zantel wana kasoro kwenye port fulani. usiitaje jina lake. ambayo mitandao yote mengine hamna kasoro hiyo
Nimejaribu kufanya hayo yote kwa line yangu mpya ya Zantel lakini inashindwa kukonect! Tatizo linaweza kuwa nini?
hakuna cha bado sana. states nyingi za india hii kitu haikubali na mwanzo ilikuwa inakubali. airtel ya tanzania ipo secure. hakuna open port kaka
enzi hizi ilikwa balaaKwa kuna uwezekano siku moja wakatuangamiza.