poleni wafiwa wote na Mungu awape faraja kipindi hiki kigumu.
Kwa kuwa wafu hawajui lolote, lakini sisi tulio hai twajua hakika ipo siku tutakufa, Basi bwana ukatuwezeshe kuzihesabu siku zetu kwa kutambua hakika duniani sio kwetu ila ni wapitaji.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.