gambakuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 422
- 414
hahaha...maskini mulugo!!!Basi tumpe urais Morgan Tshangirai...maana lazima tudumishe Muungano wetu wa Zbar,Tanganyika na Zimbabwe!
hahaha...maskini mulugo!!!Basi tumpe urais Morgan Tshangirai...maana lazima tudumishe Muungano wetu wa Zbar,Tanganyika na Zimbabwe!
kabisaaa maana tumempa muislam nchi miaka 10 ameiharibu nchi imeoza na udini/ukabila ndio umeongezeka kuliko miaka mingine katika historia ya taifa letu......
Duh, labda awe Sheikh Ponda, maana kule kuna uamsho...Kwa katiba ya sasa ya SMZ hiyo itakuwa ngumu. Labda kama na rais wa SMZ atatoka Bara
Elewa kwamba rais ajaye ni LAZIMA awe MKRISTO. Waislam hawana chao 2015.....
Elewa kwamba rais ajaye ni LAZIMA awe MKRISTO. Waislam hawana chao 2015.
kama dar ni nchi huru sawa watabaki ila kama ni sehemu ya tanganyika waunguja na wapemba lazima warudi kwao....ushawahi kukaa zanzibar uone hawa jamaa walivyo wabaguzi mtanganyika kumiliki ardhi kwao mizengwe kibao .......hapa muungano ukivunjika kila mtu kwao hawa jamaa wapo kila kona ya nchi hii na wala sio dar tu
1.kama kuwabagua watanganyika kumiliki arhdi ni utamaduni wao basi utamaduni waoni wa kibaguzi .1.zanzibar siyo wabaguzi isipokuwa wanauthamini utamaduni wao na hawataki kulazimishwa tamaduni zisizokuwa zao. Kama ulisoma post yangu nimesema kwamba waunguja na wadarisalama ni ndugu kwa miaka mingi tena kabla ya huo 2.muungano wenu. na uthibitisho no kwamba ali hassan mwinyi na aboud jumbe wote ni wadarisalama na wamewahi kuongoza nchi unguja. 3.kama wazanzibari ni wabaguzi, ilikuwaje ali hassan mwinyi awe rais zanzibar?
Kwa taarifa yako, sisemi kuhusu wapemba lakini waunguja na wadarisalama walikuwa ndugu kabla ya muungano na watabakia kuwa ndugu baada ya muungano. 4.utaondoka wewe hapa dar kabla hajaondoka muunguja
Kwa katiba ya sasa ya SMZ hiyo itakuwa ngumu. Labda kama na rais wa SMZ atatoka Bara