Jamani mtu anisaidie kujua kosa la huyu dada.....mbona anapondwa hivi?au ana damu ya kunguni?maana mi namuona yuko sawa tu....na hata kama amebebwa basi naye kajibeba haswaaa!
watu wana chuki binafsi tu,huyu mdada sio mbaya kama watu wanavyosema
Jamani mtu anisaidie kujua kosa la huyu dada.....mbona anapondwa hivi?au ana damu ya kunguni?maana mi namuona yuko sawa tu....na hata kama amebebwa basi naye kajibeba haswaaa!
Hivi pale Ruge atakua alipendea nini?
Demu mwenyewe hata pa kushika hamna, analazimisha Cat-Walk mpaka anataka kudondoka.
U-Gamba wa Staff wake!!Hv clouds iliwakosea nini humu jf!
yea mkuu,,vimeno vyake vimeachana achana sana bas akicheka anavifunika na mkono kimtindo...ushawai ona miguu yake? km stendi za kamera
Zamaradi mbona mzuri sana jamani,Ruge uwa habakui hachagui yoyote twende tu ilimladi uwe na K
Kwa muonekano wa macho yako yanatisha na kuogopesha watazamaji zamani nilidhani ni majungu ya watu kumbe ni kweli.
Ulifaa kubaki kwenye redio na sio tv, inshort hufai kuwa kwenye tv.
Mwambie boss wako na mpenzi wako akubadilishe,unaogopesha watazamaji.
mmh angekuwa na msimamo angezaa na bosi wake jaman! hana lolote attention seeker kama hao wengine tu ajipange.
acheni uzushi hapa hebu wewe weka picha yako hapa tukuone!
Dahhh nahisi kulia.........Ana uzuri gani?
Akikaa kwenye kipindi chake basi huwa anakunja 4...Basi hivyo vimiguu utasema UDI
Zamaradi ana kismati cha paka kupendwa na wachawi!
mmmh!!!!!!!! nimejisikia kucheka.
khaaaa!Ana uzuri gani?
Akikaa kwenye kipindi chake basi huwa anakunja 4...Basi hivyo vimiguu utasema UDI
Kwa muonekano wa macho yako yanatisha na kuogopesha watazamaji zamani nilidhani ni majungu ya watu kumbe ni kweli.
Ulifaa kubaki kwenye redio na sio tv, inshort hufai kuwa kwenye tv.
Mwambie boss wako na mpenzi wako akubadilishe,unaogopesha watazamaji.