moghasa
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 1,084
- 1,252
huyu sijui ni SAID KOPWE aliyepita Nyegina sec. nawaza tu kwa sauti !BORA ANGEKUWA NAMUHOJI SHEIKH KIPOZEO KILA SIKU HAHAHAHAAAA
huyu sijui ni SAID KOPWE aliyepita Nyegina sec. nawaza tu kwa sauti !BORA ANGEKUWA NAMUHOJI SHEIKH KIPOZEO KILA SIKU HAHAHAHAAAA
Kuna tatizo la Point of View.
Mimi naona Giggy kaongea vizuri sana.
Anasema yeye alikataliwa na wazazi wake tangu kabla hajazaliwa, na anaelezea kuwa hata kuzaliwa kwake kulimsononesha mama yake.
World has created her
Hainaga ushemeji iyooYule dada anatisha yeye kawachanganya alikiba na ndugu yake na hajui kuacha Lol
Alipwe wapi juha huyu kuzaa na ruge anadhan clouds ndio anaimiliki .hii ndio shida ya kuleta mapenzi kazin...ngoja wapigwe faini...ila tcra nao wako wapi khaaaaa... yn kuna mda c redio si baadhi ya statiion hovyooo unaona bora tu usikilize gospel mana hujui kitaoneshwa nn au mtangazaji ataongea nn na uko na watu unawaheshimu...wamekosa adabu kabisaaaa..redio siku hizi ndiio kabisaaaaaYAWEZEKANA ZAMARADI AMELIPWA KUFANYA HICHO KIPINDI SIO BUREE
Tena huyu mkuu wa mkoa namshangaa sana why kila siku yy na wasaniii yeye na media afanye kazi afate mifano ya walotangulia .huyo sapi sijui hapi nae ndio anafata nyayo..kwan dar ni ya wasanii tupu....WANABOOOOOA kuchaguliwa vijana sio ndio wawaendekeze hao wapuuzSerikal inabaki kudili na UKUTA wakati jamii inateketezwa kimya kimya na media zao huku. Makondo anaamkia hapo anashindia hapo unategemea watakifungia hiicho kipind
NINGEMUONA KICHAA ZAIDI ANGESEMA AMETOKA NA MZEE MUTAHABA . MAANA PALE HUPEW AIRTIME MPAKA UTOE NASIKIA KAPEWA KIPINDI CHOICE FM STATION YA BWANA MUZEE TENA CHA USIKU AWE MPINZANI WA DIVA NA LEMUTUZ
Yani me ndio nashindwa kbs kumshangaa, ndio nikajiuliza au siku hizi hakuna kabisa filamu kiasi cha kutuletea watu tofauti tofauti?Mkuu nikishasema huyo dada ni anapenda kurukia rukia mambo ili apate Spotlight!
Aonekane ndie mtangazaji bora!
Kaacha kufatilia filamu anakimbilia mambo ya umbea umbea tu.