GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Jamani wanaJF, hasa mnaotumia mtandao huu wa Zain.
Leo kumetokea tena usumbufu ambao siupendi kabisa. Usumbufu uliotokea leo ni wakati kujaza vocha zao kwenye simu utakuta vocha haikubali badala unapata meseji "Nambari ya vocha haipo" wakati iko sahihi kabisa, mara baadaye inakwambia "tatizo halijulikani" Hivi ZAIN kumpa mteja ujumbe kama huo inakuwa na maana gani?
Wakati usumbufu huo ukiendelea upande vocha za kukwangua. kuna ile huduma mbadala ya kuhamisha salio kutoka zain kwenda zain inayojulikana kama Me2u. Na yenyewe ukijaribu kuitumia na yenyewe haikubali.
Kwanini Zain mwafanya hivyo? Kama kuna tatizo la kiufundi ni vema wakatuma ujumbe wenye heshima kwa wateja. Kwa mfano wangetoa ujumbe kama huu "Samani ndugu mteja kuna tatizo la kiufundi jaza vocha yako baada ya muda fulani"
Leo kumetokea tena usumbufu ambao siupendi kabisa. Usumbufu uliotokea leo ni wakati kujaza vocha zao kwenye simu utakuta vocha haikubali badala unapata meseji "Nambari ya vocha haipo" wakati iko sahihi kabisa, mara baadaye inakwambia "tatizo halijulikani" Hivi ZAIN kumpa mteja ujumbe kama huo inakuwa na maana gani?
Wakati usumbufu huo ukiendelea upande vocha za kukwangua. kuna ile huduma mbadala ya kuhamisha salio kutoka zain kwenda zain inayojulikana kama Me2u. Na yenyewe ukijaribu kuitumia na yenyewe haikubali.
Kwanini Zain mwafanya hivyo? Kama kuna tatizo la kiufundi ni vema wakatuma ujumbe wenye heshima kwa wateja. Kwa mfano wangetoa ujumbe kama huu "Samani ndugu mteja kuna tatizo la kiufundi jaza vocha yako baada ya muda fulani"