hahahaaaaaaa.. kali aiseeeKauzu..Kaanguka na kazirai nje ya kiwanda cha bia (TBL) wasamaria wema na wafanyakazi wakampa huduma ya kwanza kwa kummwagia maji ili azinduke..
mara akazinduka kwa ukali akapayuka "nyie washenzi*"@ nini ningekuwa na shida ya maji si ningeenda kuangukia DAWASCO.