Hakuna kinachoshindikana zaidi ya Nia na Uthubutu. Walionenepa na wanataka kupungua inawezekana ndani ya Siku 50 tu

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,073
Ulikuwa na mwili wako wa kawaida tu lakini ghafla imeshaanza kuwa kawaida kuambiwa "Umenenepa siku hizi?”

Kama una nia ya kurudisha mwili uwe wa kawaida siwezi kusema ni rahisi ila inahitaji uwe na nia thabiti. Dawa ni hii hapa. Ni mwezi moja tu. Milo miwili tu kwa siku!

Unavyoamka kula mahindi si zaidi ya matatu ya kuchemsha pamoja na maziwa ya mgando.

Baada ya masaa 8 piga msosi ugali au wali sahani moja tu. Nyama iwe ni samaki au dagaa tu.

Kila siku uwe unakunywa lita moja ya maji.

Kila siku uwe unakimbia raundi 5 tu uwanja wa mpira, ukiongeza si mbaya.

IMEISHA HIO. Rudia tena kesho.

Masharti;
1. Usile nyama (ule samaki tu)
2. Usinywe zaidi ya bia moja kwa siku, usinywe soda.

Fanya hii mwezi mzima kwa nia thabiti, kama huwezi kapigwe sindano za kisukari za milioni 2 ila jipange cancer / saratani.
 
Dawa rahisi ya kupungua unene ni kukopa tu mikopo umiza au chupi mkononi au kausha damu.
 
Dawa rahisi ya kupungua unene ni kukopa tu mikopo umiza au chupi mkononi au kausha damu.
Tusidanganyane, Unene utapungua vp kwa kuziondoa stress za madeni kwa bia 5 na kitimoto daily.
 
Ulikuwa na mwili wako wa kawaida tu lakini ghafla imeshaanza kuwa kawaida kuambiwa "Umenenepa siku hizi?”

Kama una nia ya kurudisha mwili uwe wa kawaida siwezi kusema ni rahisi ila inahitaji uwe na nia thabiti. Dawa ni hii hapa. Ni mwezi moja tu. Milo miwili tu kwa siku!

Unavyoamka kula mahindi si zaidi ya matatu ya kuchemsha pamoja na maziwa ya mgando.

Baada ya masaa 8 piga msosi ugali au wali sahani moja tu. Nyama iwe ni samaki au dagaa tu.

Kila siku uwe unakunywa lita moja ya maji.

Kila siku uwe unakimbia raundi 5 tu uwanja wa mpira, ukiongeza si mbaya.

IMEISHA HIO. Rudia tena kesho.

Masharti;
1. Usile nyama (ule samaki tu)
2. Usinywe zaidi ya bia moja kwa siku, usinywe soda.

Fanya hii mwezi mzima kwa nia thabiti, kama huwezi kapigwe sindano za kisukari za milioni 2 ila jipange cancer / saratani.
Mkuu hii mbona ni kamba.

Kiasi kikubwa unene unasababishwa na ulaji wa vyakula vya wanga kwa wingi bila ya kuushughulisha mwili. Afu wewe ili kupungua unasisitiza ulaji wa ugali na wali kwa sana na kupunguza nyama ??.
 
Mkuu hii mbona ni kamba.

Kiasi kikubwa unene unasababishwa na ulaji wa vyakula vya wanga kwa wingi bila ya kuushughulisha mwili. Afu wewe ili kupungua unasisitiza ulaji wa ugali na wali kwa sana na kupunguza nyama ??.
Vyakula vya wanga ni hivyo hivyo hata vijijini wanakula zaidi kuliko mjini ila wana miili mizuri

We fuata hio formula utapungua
 
Vyakula vya wanga ni hivyo hivyo hata vijijini wanakula zaidi kuliko mjini ila wana miili mizuri

We fuata hio formula utapungua
Kumbuka Vijijini wanashughulisha miili yao kwa kazi za nguvu na kupata vyakula vyenye fibres kwa wingi kuliko mjini.
 
litutumbwe njoo huku tutuwe hilo litutumbwe lako
Ulikuwa na mwili wako wa kawaida tu lakini ghafla imeshaanza kuwa kawaida kuambiwa "Umenenepa siku hizi?”

Kama una nia ya kurudisha mwili uwe wa kawaida siwezi kusema ni rahisi ila inahitaji uwe na nia thabiti. Dawa ni hii hapa. Ni mwezi moja tu. Milo miwili tu kwa siku!

Unavyoamka kula mahindi si zaidi ya matatu ya kuchemsha pamoja na maziwa ya mgando.

Baada ya masaa 8 piga msosi ugali au wali sahani moja tu. Nyama iwe ni samaki au dagaa tu.

Kila siku uwe unakunywa lita moja ya maji.

Kila siku uwe unakimbia raundi 5 tu uwanja wa mpira, ukiongeza si mbaya.

IMEISHA HIO. Rudia tena kesho.

Masharti;
1. Usile nyama (ule samaki tu)
2. Usinywe zaidi ya bia moja kwa siku, usinywe soda.

Fanya hii mwezi mzima kwa nia thabiti, kama huwezi kapigwe sindano za kisukari za milioni 2 ila jipange cancer / saratani.
 
Back
Top Bottom