Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,680
- 13,170
Kilichobaki tuandamane tudai pesa yetu. Nadhani tuanzie na majumbani mwao halafu tunamalizia wizarani kitaeleweka. Hawa wanatufanya sisi mbumbumbu mzungu wa reli. Mimi nasema wote mliolifilisi taifa hili na bado mnaendelea kulifilisi basi mwisho umefika kwani dalili sasa zinaanza kuonekana. Tukose wote. shwain!