Interested Observer,
Politically you are right, Practically you are not!
Let me put this way... for this ase in hand,
President: is Accountable
Prime minister: is Responsible
Usually you start with that who is responsible b4 that who is Accountable! in other words wait n see whether Pinda will do something, if not then move on to the "mwenye nyumba";
But surely not everthing escallated to president as if there is no administrative structures in this country...
Remember "TAWALA ZA MIKOA" is under Prime Minister Office ...
Thanks
Kasheshe
Kama hatutafuti jinsi ya kurekebisha/kubadili serikali, tutaendelea kujaza makabati yetu kwa taarifa za ufisadi na ubadhirifu wa serikali kila uchao! !!!!
Jamani hii ni issue planned na CCM ukweli ni kwamba pesa hizo za kilimo nyingi hazikupelekwa huko, walipeleka hewa ili ku-justify kwamba pesa za EPA zimerudishwa kumbe hakuna lolote.
...
Nchi hii mfumo mzima wa utawala kuanzia ngazi ya juu mpaka chini kabisa kny serikali za mitaa, upo kifisadi fisadi. Utawala wa nchi hii, haupo kwa ajili ya kuleta maendeleo ya wananchi bali kujiletea maendeleo yao binafsi. Nchi hii watu watakuja kuuza mpaka anga, barabara na hata wanachi tutakuja uzwa mambo yakiachwa yaendelee hivi hivi......!
watch this... within these few weeks mtasikia serikali inapewa misaada ya mabilioni kutoka kwa the so called "our development partners" a.k.a donors.. they always do this everytime there is a scandal boiling... it is like local anesthetic .. hawataki tusikie maamivu.. mark my words.
What a shame CCM na serikali yake!!!!
Matatizo ya Tanzania ni makubwa mno kuliko tunavyoweza kuongea hapa, uongozi bora haupo, utendaji mbovu umetawala kila sehemu, jamii nzima ni kama imegeuka kuwa ya wezi na wasanii. Bila kubadili hii culture mbovu, tutaendelea kupoteza mabilioni ya pesa kila siku.