Wamesoma alama za nyakati wameamua kuwarithisha ujinga kina wakudadavua.Siku hizi buku 7 hazipo tenaMara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa nao atujuze
Mara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa nao atujuze
Kiswahili fasaha:Mara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa nao atujuze
watakuwa na 'paspoti' nyingine humu!!!Kama kila mechi zinazochezwa taifa tunawaona wanakosaje muda wa kjiunga nasi Jf?
Lizaboni ndiye Mrisho GamboMara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa nao atujuze