dunia tunapita
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 356
- 61
duh!!! kama story vile!!! ila somo tosha hilo kwetu wengine
Jamani hii kitu ni ya kitambo sana, msije mkadhani ni ya hivi karibuni.....LOL
Mtambuzi naona leo umemleta daktari MziziMkavu kwenye Show. It's useful
Niliona nifiche utambulisho wake...... Ni yeye bana
Bora umekiri ni wewe. Ungesema ni jirani yako kimoyo moyo ningejua tu ni wewe. Lol.
Kweli mwenye macho na asome hilo ni funzo. Ni bora mtu anayebwatuka ugomvi unaisha ndani ya masaa kuliko kununa...nuna nuna mbaya kweli...tatizo mnunaji anaweza asione kama yeye ni chanzo; na yeye anaona wewe pia umenuna. Lol. Kwa ufupi mnanuniana.
Funzo niloona hapa mkipeana short divorce kama hizo kupima ni muhimu..tatizo litakuja kama ni tabia ya kujirudia rudia. Kama mnawapenda wake zenu muwege mnapima afya pale mnapoamua ku solve difference zenu...kama mnawapenda mtawalinda; huko nje ni noma...kwa hisani ya watu wa marekani.
Bora umekiri ni wewe. Ungesema ni jirani yako kimoyo moyo ningejua tu ni wewe. Lol.
Kweli mwenye macho na asome hilo ni funzo. Ni bora mtu anayebwatuka ugomvi unaisha ndani ya masaa kuliko kununa...nuna nuna mbaya kweli...tatizo mnunaji anaweza asione kama yeye ni chanzo; na yeye anaona wewe pia umenuna. Lol. Kwa ufupi mnanuniana.
Funzo niloona hapa mkipeana short divorce kama hizo kupima ni muhimu..tatizo litakuja kama ni tabia ya kujirudia rudia. Kama mnawapenda wake zenu muwege mnapima afya pale mnapoamua ku solve difference zenu...kama mnawapenda mtawalinda; huko nje ni noma...kwa hisani ya watu wa marekani.
Hivi ni nani aliyekuambia kwamba mkasa huu ulinipata mimi...!
Mie ni msimuliaji tu na wala sihusiki kabisaaaa, unikome mtoto wa mwenzio
Pole kwa yaliyokukukta kwa kujitakia. Kwanza unaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo kuwa na tabia ya kufanya Ngono zembe. Baba hapo nenda kacheki SeroStatus ( HIV testing). Pili nahuyo daktari uchwara umbea umemzidi. Yeye alitakiwa kumaliza kazi yake kwako ya tiba na kukaa kimya. Jamani si kila mnaye kutana naye kwenye dispensary za huko mitaani ni madaktari.
Daktari ni mtu mwenye alimu ya tiba kuanzia ngazi ya shahada (degree in medical sciences: MD,DDS) na kuendelea. Chini ya hapo hao siyo madaktari. Kwahiyo kuweni waangalifu.
Na wapo wanandoa ni kama 'maadui' sijui unashauri nini hapo? lol
Boss sielewi itakuwaje wanandoa wawe 'kama maadui'
Na kama wapo basi hao wako safe maana sidhani kama wanashiriki tendo iwapo wako kama maadui. Kila mtu atajiju akiukwaa huko anako tanga tanga.