kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,428
- 7,216
yes.. huyu nae ni jipu la kutumbua. sema tangu amuuzie mzee wa monduli kampuni yake ya cdm ltd nyumbu ndio wamejaa cdm original hawana lao. akae chonjo akiingia 18 za jpm atatumbuliwa lazima.Freeman mwenyewe anapaswa kutumbuliwa, ni tatizo ambalo nyinyi hamuwezi kuliona.