Wakuu,
Huyu mwamba nguli wa riwaya, Husein Tuwa, bado anaendelea kuandika riwaya zake?
Huyu mwamba riwaya zake zimeenda shule! Nakumbuka riwaya za Mkimbizi (ambayo baadae aliandika kitabu), riwaya ya Mdunguaji, na nyinginezo.
Je, aliacha uandishi wa riwaya? Tumezimisi sana riwaya zake!
Huyu mwamba nguli wa riwaya, Husein Tuwa, bado anaendelea kuandika riwaya zake?
Huyu mwamba riwaya zake zimeenda shule! Nakumbuka riwaya za Mkimbizi (ambayo baadae aliandika kitabu), riwaya ya Mdunguaji, na nyinginezo.
Je, aliacha uandishi wa riwaya? Tumezimisi sana riwaya zake!