thanks man.....ndio maana nataka kukimbia nchi.....watz mlioko uko msirudi....Yaliyomkuta Tido ni mwanzo wa wataalam wa nchi hii kukataa kurudi tena Tanzania kufanya kazi maana huku bado watu wako ki-ccm ccm na sio kwa maslahi ya taifa
Yaliyomkuta Tido ni mwanzo wa wataalam wa nchi hii kukataa kurudi tena Tanzania kufanya kazi maana huku bado watu wako ki-ccm ccm na sio kwa maslahi ya taifa
Mkuu umenena hapo. Huku tunaishi kwa ujanja ujanja na wizi wizi, na tunachukia wataalamu wanapotofautiana na wishes zetu. Natamani TUNISIA ihamie hapa, tuwachape JK na wezi wenzake hadi wakimbilie Costa Rica.lane:
Yaliyomkuta Tido ni mwanzo wa wataalam wa nchi hii kukataa kurudi tena Tanzania kufanya kazi maana huku bado watu wako ki-ccm ccm na sio kwa maslahi ya taifa
Nadhani wanasiasa wetu wangeweka wazi kuwa viongozi wa mashirika ya umma wanatakiwa kuwa wamebobea kwenye siasa na propaganda (e.g. Tambwe hiza akae pale BOT, makamba TBC etc ) badala ya wataalam maana hii itawasaidia kupunguza migongano kati ya watawala wa sisiem na uongozi wa mashirika kama inavyojionesha kwa TBC ( wote watakuwa kwenye frequency moja), vinginevyo hii objective inapokuwa imejificha itaendelea ku frustrate wataalam wetuTido went back to the UK but he was expecting to have some rest and thereafter decide what to do. he wasn't expect to be formally employed but he didn't rule out. anything is possible. he has laid the foundation and done a very good structural work within the public tanzania media hous. he has formed the corporation and made TBC1 and TBC the same thing which is likable again within and outside tanzania. he stands to the agreements and that what has made his contract not to be extended for another six months while he was trying to finish the foundation work he has started. all parties agreed to the live debate with wananchi during elections but when ccm was outperformed at Vunjo and Ubungo, ccm stopped its candidates from participating. they requested Tido to stop the debate but he refused on a basis that they had earlier with all parties including ccm and pull out by ccm should not deny other people opportunitie! this formed gradges with the ruling party and it is associated with non-extension of his contract which earlier gently agreed.
Hapo ndio ilipo duwanzi letu?[/QUOTE]
sijakusoma mkuu?
Nadhani wanasiasa wetu wangeweka wazi kuwa viongozi wa mashirika ya umma wanatakiwa kuwa wamebobea kwenye siasa na propaganda (e.g. Tambwe hiza akae pale BOT, makamba TBC etc ) badala ya wataalam maana hii itawasaidia kupunguza migongano kati ya watawala wa sisiem na uongozi wa mashirika kama inavyojionesha kwa TBC ( wote watakuwa kwenye frequency moja), vinginevyo hii objective inapokuwa imejificha itaendelea ku frustrate wataalam wetu