Upo mji gani haonekani? Mbona tunapiga nae vitu sana tu pale Tip top.!
Yeye ni mtendaji sio muuza sura.
Aliondolewa au mkata ulikwisha!?Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?
Bado yuko juu sana...Nlisikia BBC walimwuita ,sababu alikua mtendaji mzuri..serikali ya Tz ilimuiba
Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?
yupo pale tip top anauza matunda