Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
ni kweli
Ni kweli?? Kuweni serious kidogo.Tido Mhando yupo Ileje anatangaza redio ya wilaya.
Tido Mhando yupo Ileje anatangaza redio ya wilaya.
Aliondolewa au mkata ulikwisha!?
Tido anajua Watanzania wanapenda quantity badala ya quality. Haya hiyo imegharimu zaidi ya dola milioni 30!!