Yu wapi ndugu yetu Julius Mtatiro wa CUF ?

Azizi Mussa

JF-Expert Member
May 9, 2012
9,172
7,429
Jamani! ni nani anaeweza kufahamu ni wapi alipo naibu katibu wa CUF bara ndugu Julius Mtatiro? Kijana huyu aliepata kuchagiza sana katika siasa toka akiwa chuoni na baadae kujiunga na Chama cha CUF, ambapo haukupita muda mrefu alipata nafasi ya kuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho bara.Katika kipindi cha nyuma amekuwa akisikika akijadili masuala mbalimbali ya kitaifa lakini kwa muda mrefu sasa sijamsikia kabisa.Hali hii hunisukuma kuuliza yu wapi Julius Mtatiro?
-Huyu ndugu yetu ha yopo humu JF!
-Bhandugu anayejua kwamba huyu mtu yuko wapi anijuze tafadhali.
 
Juzi juzi alikuwa Mtwara alipiga mkutano mkubwa sana huku mvua inanyesha akitoa ujumbe wa GESI KWANZA VYAMA BAADAYE. Aliwaambia wananchi wa Mtwara wasikubali gesi iende Bagamoyo hadi watakapofungiwa mtambo wa MW 300 na maCCM yarudishe dola milioni 532 yalizoongeza cha juu. Then akakutana na Waziri mkuu kujadili uendeshaji wa Bunge na malalamiko dhidi ya spika,,,, ina maana jamaa yupo sana na tatizo liko kwako kutofuatilia kiongozi wako yuko wapi na anafanya nini. Labda kama angekuwa anakwea pipa mara kwa mara kama FASTJET...
 
Ninapolisikia jina la Jlius Mtatiro,nakumbuka migomo na maandamano UDSM. Alikuwa Waziri wa Mikopo na baadaye Waziri Mkuu wa DARUSO. Yaani,we acha tu! Hata mimi ningependa kujua alipo...
 
yuko masomoni uswisi kwa muda tu
Ila mkuu; kwa kuwa masomoni Uswiss ndo hata ashindwe kutupia maoni yake humu jamvini siku moja moja kuhusu masuala ya kitaifa?Au inawezekana hatambui uwepo wa Jf Pengine? Ujue kitendo cha yeye na chama chao kukaa kimya kwa muda mrefu sana na kutochangia mijadala mbalimbali kunasababisha watu wasijue misimamo yao juu ya masuala hayo na hivyo kujikuta taratibu wakisahaulika katika medali za kisiasa.
 
Juzi juzi alikuwa Mtwara alipiga mkutano mkubwa sana huku mvua inanyesha akitoa ujumbe wa GESI KWANZA VYAMA BAADAYE. Aliwaambia wananchi wa Mtwara wasikubali gesi iende Bagamoyo hadi watakapofungiwa mtambo wa MW 300 na maCCM yarudishe dola milioni 532 yalizoongeza cha juu. Then akakutana na Waziri mkuu kujadili uendeshaji wa Bunge na malalamiko dhidi ya spika,,,, ina maana jamaa yupo sana na tatizo liko kwako kutofuatilia kiongozi wako yuko wapi na anafanya nini. Labda kama angekuwa anakwea pipa mara kwa mara kama FASTJET...
Hapo kwenye bold nyekundu aliwadanganya wanamtwara. Sijui kama alikusudia au naye hakufahamu vizuri.
 
Mtatiro ni mwanasiasa mzuri tatizo anabanwa na wahafidhina ndani ya CUF ambao wanamuita kuwa ni mamluki wa CHADEMA
 
Mtatiro ni mwanasiasa mzuri tatizo anabanwa na wahafidhina ndani ya CUF ambao wanamuita kuwa ni mamluki wa CHADEMA

CUF ya waislamu,Mtatiro amepotea njia,na CHADEMA ya wakristo akina Zitto wamepotea njia,na CCm in ya mafisadi wachumia tumbo kwanza.Nchi dhaifu,wabunge ni dhaifu,wananchi ni dhaifu,mahakama ni dhaifu,polisi ni dhaifu,usalama wa taifa ni dhaifu,raisi mwenyewe ni dhaifu.mwwendowa alijojo tu hatujui tunakokwenda
 
CUF ya waislamu,Mtatiro amepotea njia,na CHADEMA ya wakristo akina Zitto wamepotea njia,na CCm in ya mafisadi wachumia tumbo kwanza.Nchi dhaifu,wabunge ni dhaifu,wananchi ni dhaifu,mahakama ni dhaifu,polisi ni dhaifu,usalama wa taifa ni dhaifu,raisi mwenyewe ni dhaifu.mwwendowa alijojo tu hatujui tunakokwenda

Haya maudini mnayoshabikia leo mkiwa na amani tele ipo siku mtaandika mkiwa kwenye majeneza ya ndugu zenu au kwenye maandaki chini ya ardhi, ni ujinga mtupu kuendelea kumjadili mtu kwa dini yake, shame shame.
 
Haya maudini mnayoshabikia leo mkiwa na amani tele ipo siku mtaandika mkiwa kwenye majeneza ya ndugu zenu au kwenye maandaki chini ya ardhi, ni ujinga mtupu kuendelea kumjadili mtu kwa dini yake, shame shame.

Sasa unamlaumu nani?Walaumu Mashekhe walioipigia CUF kampeni misikitini,na walaumu Maaskofu waliotoa walaka maalamu 2010 wa kuipigia kampeni CHADEMA makanisani,pia walaumu viongozi wa CCM kwa ufisadi,ubinafsi wao na kujenga matabaka ya watu ndini ya nchi hii
 
Juzi juzi alikuwa Mtwara alipiga mkutano mkubwa sana huku mvua inanyesha akitoa ujumbe wa GESI KWANZA VYAMA BAADAYE.

Aliwaambia wananchi wa Mtwara wasikubali gesi iende Bagamoyo hadi watakapofungiwa mtambo wa MW 300 na maCCM yarudishe dola milioni 532 yalizoongeza cha juu.

Then akakutana na Waziri mkuu kujadili uendeshaji wa Bunge na malalamiko dhidi ya spika,,,, ina maana jamaa yupo sana na tatizo liko kwako kutofuatilia kiongozi wako yuko wapi na anafanya nini.

Labda kama angekuwa anakwea pipa mara kwa mara kama FASTJET...

.......

Nilijua tu kuwa ujinga huu lazima watu wa Mtwara watakuwa wameelekezwa na KABWELA mmoja, sasa aliwaambia na hizo MW300 wazitumie kufanyia nini au aliwahamasisha ziwe mapambo?
 
Hapo kwenye bold nyekundu aliwadanganya wanamtwara. Sijui kama alikusudia au naye hakufahamu vizuri.

Akili zake zinaishia hapo, ulitegemea nini?

Atakuwa kajificha tu mkuu, salio la siasa kichwani mwake haliruhusu kuendelea kuongea na wananchi.
 
Back
Top Bottom