Yu wapi mke wa Rais Mama Salma?

Jamani wana JF naomba kuuliza,yu wapi First Lady mama Salma Kikwete?.Siku hizi simsikii kabisa na hata jana kwenye maadhimisho ya miaka mia moja ya siku ya wanawake duniani sijamsikia.

Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.
mke wa mtu unamuulizia nini na wewe kama sio udaku huo??

muache mama wa watu, hali mbaya mwaka huu
 
Huyu hapa:

DSC09813.JPG

mbona kawa mweupe thana
 
Ukweli na uhakika wa 100% ameenda kwa Babu Loliondo sijui kama amesharudi
 
Jamani mmesahau kuwa mama salma ni mama wa nyumbani!!!? Amebanwa nyumbani na majukumu ya kifamilia. Fullstop.
 
Ulizeni kwanza wake zenu wakwapi kisha muweze kuliza ya mama salma.wanaume wengne hawna kazi na huwez kuwatofautisha na wanawake kwa umbea na unafiki.mama salma yuko salama salmini na kama unataka kupata uhakika kamulize jk ndo ujionee mwenyewe
 
Ulizeni kwanza wake zenu wakwapi kisha muweze kuliza ya mama salma.wanaume wengne hawna kazi na huwez kuwatofautisha na wanawake kwa umbea na unafiki.mama salma yuko salama salmini na kama unataka kupata uhakika kamulize jk ndo ujionee mwenyewe

Nimuulize JK unataka nifie jela?
Mimi nauliza tu maana si kawaida.

Kuna fununu kuwa kuna matatizo kwenye ndoa yake na mumewe,sasa naomba mtupatie habari zaidi mnaofahamu kuhusu hilo.
 
Nimuulize JK unataka nifie jela?
Mimi nauliza tu maana si kawaida.

Kuna fununu kuwa kuna matatizo kwenye ndoa yake na mumewe,sasa naomba mtupatie habari zaidi mnaofahamu kuhusu hilo.

Kumbe bado uko jela? wapi uko naona mmeendelea!!!
 
Kuna fununu kuwa kuna matatizo kwenye ndoa yake na mumewe,sasa naomba mtupatie habari zaidi mnaofahamu kuhusu hilo.

Matatizo yake ya ndoa yanakuhusu nini wewee? Badala ya kufikiria majanga yanayoitafuna hii nchi, na jinsi ya kuyaepuka, unapoteza muda kuulizia matatizo ya mtu ya ndoa!

Kuna vitu kama

(1) Hali ya huduma za afya
(2) Elimu - Walimu, vitendea kazi, mitihani n.k
(3) Miundo mbinu...reli, barabara, ndege (TRL, ATCL) ajali za kila siku za mabasi.
(4) Umeme - Mabwawa, hali ya mvua, mashine chakavu tokea enzi za mkoloni, hatima ya DOWANS
(5) Maji - Mgao wa maji, na kukosekana kabisa kwa huduma za maji, hasa vijijini.
(6) Ulinzi na usalama - Mabomu kulipuka ovyo - uwajibikaji wa serikali kuhusu mabomu, matokeo ya maafa etc
- Polisi kutumia silaha ovyo kutawanya watu kwenye matukio
(7) TISS - Siri za ndani za nchi kuvuja ovyo - kukosekana kwa nidhamu ya kazi ndani ya waajiriwa wa TISS
(8) Vyombo vya habari - Mengi na wenzake wanavyotumia vyombo vyao vibaya
(9) Bei za vitu kupanda bila sababu maalum (MAFUTA/SUKARI/UNGA/NYAMA etc) na serikali kukaa kimya.
(10) Foleni za magari zinazozidi kuongezeka kwanye miji mikubwa (Dar, Mwz, Ars etc)

NA MENGINE MENGI TU.....

WE UNAULIZIA NDOA!!!! KWELI WE NICKNAME!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom