Na wewe unakubali kuchezewa akili kama serikali ya CCM na Wadanganyika juu ya Dowans; huwezi kutambua kwamba hapo juu anayeandika ni Malaria Sugu mwenyewe baada kuzaliwa upya toka tumboni ka mama yake??naona siku nyingi huja ingia jamvini.....yuko na life BAN