dear kuna wanaume vichwa maji, mie wangu nilizungumza nae weeee nikaona inaingia huku na kutokea kule,mwishowe nikaamua kumuacha free, nadhani alijichokea mwenyewe huko akaamua kutulia.
Itabidi tuwekwe kifungu cha 'grace period' katika sheria zetu kabla ndoa haijawa 'mariage absolute' hili watu wachunguzane vizuri. Maana hii kitu hipo sana siku hizi wapendanao uamua kuishi pamoja kuchunguzana. Hii Imekaaje?