kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Ligi ya Tanzania bara itafikia kilele tarehe 10/04/2011.
Timu zote zinatakiwa kushinda kwa idadi kubwa ya magoli ili kutwaa ubingwa.
Yanga inatakiwa kuifunga Toto, wakati Simba inatakiwa kuifunga Majimaji.
Hivyo tutarajie maajabu siku hiyo. Yanga ikishinda kwa tofauti ya 'x goals', Simba inatakiwa ipige 'x+3' goals
MSIMAMO WA LIGI
Timu /Michezo /Pts /Goal Diff
Yanga 21 46 22
Simba 21 46 20
Azam 21 40 23
Kagera 21 36 5
Mtibwa 21 33 1
JKT Ruvu 21 26 -1
African Lyon 21 25 -9
Toto African 21 21 -7
RuvuShooting 21 20 -7
Polisi Dom 21 20 -10
Majimaji 21 16 -9
Arusha FC 21 12 -28
RATIBA YA MECHI ZA MWISHO (TAREHE 10/04/2011)
Toto v Yanga
Ruvu Shooting v Azam FC
JKT Ruvu v Polisi Dom
Simba SC v Majimaji
Kagera v Arusha FC
Mtibwa Sugar v African Lyon
my take ...usishangae timu kufungwa 8-0 siku hiyo, ndo mwendo!
Timu zote zinatakiwa kushinda kwa idadi kubwa ya magoli ili kutwaa ubingwa.
Yanga inatakiwa kuifunga Toto, wakati Simba inatakiwa kuifunga Majimaji.
Hivyo tutarajie maajabu siku hiyo. Yanga ikishinda kwa tofauti ya 'x goals', Simba inatakiwa ipige 'x+3' goals
MSIMAMO WA LIGI
Timu /Michezo /Pts /Goal Diff
Yanga 21 46 22
Simba 21 46 20
Azam 21 40 23
Kagera 21 36 5
Mtibwa 21 33 1
JKT Ruvu 21 26 -1
African Lyon 21 25 -9
Toto African 21 21 -7
RuvuShooting 21 20 -7
Polisi Dom 21 20 -10
Majimaji 21 16 -9
Arusha FC 21 12 -28
RATIBA YA MECHI ZA MWISHO (TAREHE 10/04/2011)
Toto v Yanga
Ruvu Shooting v Azam FC
JKT Ruvu v Polisi Dom
Simba SC v Majimaji
Kagera v Arusha FC
Mtibwa Sugar v African Lyon
my take ...usishangae timu kufungwa 8-0 siku hiyo, ndo mwendo!