Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ngoja nikanunue betri niweke kwenye mkulima wangu
Hilo halina shida ila uache unazi katika kuripoti kwako.
Ngoja nikanunue betri niweke kwenye mkulima wangu
Dk ya 3, yanga 1
yes mpe ukweli huyu jamaa si simba ndio timu ya majagiliWivu huo.
Mkibaguliwa nyie mnalalamika, Yanga ni timu ya wananchi, kwa mujibu wa historia.
Hilo halina shida ila uache unazi katika kuripoti kwako.
Alah .. timu inayoongozwa na kufadhiliwa na mpakistani itakuwaje ya wananchi!
naomba link ya kusikiliza mpira live.
Duh! aya bana!
Goli kafunga nani
.....mbona Simba ataibuka mshindi tu!!!, kipindi cha pili ni mauwaji.Naomba Mungu angalau watoke droo matokeo yakiwa hivi hivi kocha wa Simba anaweza tupiwa vilago dk.45 kona sasa Ngasa anapiga