Ukiona kimya ujue Yanga keshalalaJamani tupeni updates...
Update tafadhali
Yanga ndio wamefanya mashambulizi ya uhakika kama mara 3 hivi, Simba mara 2 na Yanga wanamiliki sana mpira na wanaelekea kushinda mechi hii, defence ya Simba iko nyanya sana tusubiri kipindi cha pili.Half Time Bado milango migumu kote..Ball Possesion Simba 69 % Yanga 30% na Refa 1%
sawa, lkn je ile mechi ya ngonrongoro heroes na somalia jana, mbona matokeo siyaoni kwenye vyombo vya habari online? unaweza kuwa mnyenyekevu ukanihabarisha juu ya matokeo yale pia, ewe senator?