KUNA MOJA YA CHADEMA NA CCM....KUMBE NAYO PHOTOSHOP..........!kumbe haina maanaHiii ni photo shop tu hakuna lolote hapo.
Pweza kashatua Msimbazi!! Anapata msosi pale!:welcome:Jamani tupeni updates...
Wala siyo pweza sijui chura yule jamani! naona msimbazi wameamua kutumia chura kutabiri.Mechi inaanza saa 10 jioni bado kijana matokeo yatakuwa kinyume cha utabiri feki wa huyu Pweza...
asije akawa sheikh yahaya....teh tehPweza kashatua Msimbazi!! Anapata msosi pale!:welcome:
Wachezaji wameruka ukuta au kawaida? mana mechi hizi hazikosi vimbwanga!!Yanga imetangulia kuingia uwanjani